RAIS DK.MWINYI KATIKA DUA YA KITAIFA PAMOJA NA CHAKULA NA MAYATIMA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza haja kwa jamii kujitahidi kuwajengea mazingira mazuri yatima yatakayowapa fursa na kuwaondolea huzuni na ukiwa wa kuondokewa na wazazi wao. Alhaj Dk. Mwinyi ameeleza hayo leo wakati alipokuwa akitoa hotuba yake katika dua ya Kitaifa pamoja na dhifa ya chakula